Zaburi 102:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Siku zangu ni kama kivuli ambacho kimepungua,+nami mwenyewe nimekauka kama majani tu.+ Zaburi 143:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na roho+ yangu inazimia ndani yangu;Moyo wangu wenyewe umekufa ganzi katikati yangu.+ Isaya 40:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Majani mabichi yamekauka, ua limenyauka,+ kwa sababu roho ya Yehova imepuliza juu yake.+ Hakika watu ni majani mabichi.+
7 Majani mabichi yamekauka, ua limenyauka,+ kwa sababu roho ya Yehova imepuliza juu yake.+ Hakika watu ni majani mabichi.+