Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Nehemia 2:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Ndipo nikamwambia mfalme: “Mfalme na aishi mpaka wakati usio na kipimo!+ Kwa nini uso wangu usiwe na huzuni wakati lile jiji,+ nyumba ya makaburi ya mababu zangu,+ limefanywa ukiwa, na malango yake yameteketezwa kwa moto?”+

  • Nehemia 4:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Basi tukaendelea kujenga ukuta, kisha ukuta mzima ukaungana kufikia nusu ya kimo chake, watu nao wakaendelea kuwa na moyo wa kufanya kazi.+

  • Zaburi 137:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Kama nikikusahau, Ee Yerusalemu,+

      Mkono wangu wa kuume na uwe msahaulifu.

  • Danieli 9:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Ee Yehova, kulingana na matendo yako yote ya uadilifu,+ tafadhali, hasira yako na ghadhabu yako na zigeuke kutoka kwenye jiji lako Yerusalemu, mlima wako mtakatifu;+ kwa maana Yerusalemu na watu wako ni vitu vya kushutumiwa na watu wote wanaotuzunguka+ kwa sababu ya dhambi zetu na kwa sababu ya makosa ya mababu zetu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki