Zaburi 51:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa nia yako njema utendee Sayuni vema;+Na ujenge kuta za Yerusalemu.+ Zaburi 147:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Yehova anajenga Yerusalemu;+Huwakusanya pamoja waliotawanywa wa Israeli.+ Yeremia 33:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Nami nitawarudisha mateka wa Yuda na mateka wa Israeli,+ nami nitawajenga kama pale mwanzoni.+