10 Fimbo ya enzi haitageuka kando kutoka kwa Yuda,+ wala fimbo ya kiongozi kutoka katikati ya miguu yake, mpaka Shilo aje;+ na vikundi vya watu vitamtii yeye.+
10 Na itakuwa katika siku hiyo+ kwamba patakuwa na mzizi wa Yese+ ambao utakuwa unasimama kuwa ishara kwa ajili ya vikundi vya watu.+ Mataifa yatamtafuta yeye ili kuuliza habari zake,+ na mahali pake pa kupumzikia patakuwa patukufu.+
22 Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Tazama! Nitayainulia mataifa mkono wangu,+ nami nitaviinulia vikundi vya watu ishara yangu.+ Nao wataleta watoto wako katika kifua, nao watawabeba binti zako juu ya bega.+