Kutoka 23:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 “Nanyi mtajilinda kuhusiana na yote hayo ambayo nimewaambia ninyi;+ nanyi msilitaje jina la miungu mingine. Lisisikiwe kinywani mwako.+ Yoshua 23:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 kwa kutoingia kamwe kati ya mataifa haya,+ yaani, haya yanayobaki na ninyi. Nanyi msitaje majina ya miungu yao+ wala kuapa kwa hiyo,+ msiitumikie wala kuiinamia.+ Hosea 2:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “ ‘Nami nitaondoa majina ya sanamu za Baali kutoka katika kinywa chake,+ nazo hazitakumbukwa tena kwa majina yake.+
13 “Nanyi mtajilinda kuhusiana na yote hayo ambayo nimewaambia ninyi;+ nanyi msilitaje jina la miungu mingine. Lisisikiwe kinywani mwako.+
7 kwa kutoingia kamwe kati ya mataifa haya,+ yaani, haya yanayobaki na ninyi. Nanyi msitaje majina ya miungu yao+ wala kuapa kwa hiyo,+ msiitumikie wala kuiinamia.+
17 “ ‘Nami nitaondoa majina ya sanamu za Baali kutoka katika kinywa chake,+ nazo hazitakumbukwa tena kwa majina yake.+