Zaburi 78:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Lakini alikuwa mwenye rehema;+ akawa akilifunika kosa+ wala hakuharibu.+Na mara nyingi akageuzia mbali hasira yake,+Naye akawa haiamshi ghadhabu yake yote. Yakobo 5:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na sala ya imani itamponya huyo asiyejisikia vizuri,+ na Yehova atamwinua.+ Pia, ikiwa amefanya dhambi, atasamehewa.+
38 Lakini alikuwa mwenye rehema;+ akawa akilifunika kosa+ wala hakuharibu.+Na mara nyingi akageuzia mbali hasira yake,+Naye akawa haiamshi ghadhabu yake yote.
15 Na sala ya imani itamponya huyo asiyejisikia vizuri,+ na Yehova atamwinua.+ Pia, ikiwa amefanya dhambi, atasamehewa.+