Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 1:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Na mimea yote ya majani nimetoa iwe chakula+ kwa kila mnyama-mwitu wa dunia na kila kiumbe kinachoruka cha mbinguni na kila kitu kinachotembea juu ya dunia ambacho ndani yake mna uhai ukiwa nafsi.” Ikawa hivyo.

  • 1 Wafalme 18:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na Ahabu akamwambia Obadia: “Tembea katika nchi kwenye mabubujiko yote ya maji na kwenye mabonde yote ya mito. Labda tutapata majani mabichi,+ ili tuwahifadhi hai farasi na nyumbu na ili wanyama zaidi wasiangamie.”+

  • Yeremia 14:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Na punda-milia+ wamesimama tuli juu ya vilima vitupu; wamevutavuta upepo kama mbwa-mwitu; macho yao hayaoni sawasawa kwa sababu hakuna majani.+

  • Yoeli 2:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Msiogope, ninyi wanyama wa mwituni,+ kwa maana malisho ya nyikani yataota majani mabichi.+ Kwa maana mti utatokeza matunda yake.+ Mtini na mzabibu itatokeza nguvu zake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki