2 Samweli 23:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Basi ni kama nuru ya asubuhi, jua linapoangaza,Asubuhi isiyo na mawingu.+Kutokana na mwangaza, kutokana na mvua, majani hutoka katika nchi.’+ Nahumu 3:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Walinzi wako ni kama nzige, na maofisa wako wa uandikishaji ni kama kundi la nzige. Wanapiga kambi katika mazizi ya mawe siku yenye baridi. Lazima jua liangaze, nao huruka mbali; na mahali pao hapajulikani.+
4 Basi ni kama nuru ya asubuhi, jua linapoangaza,Asubuhi isiyo na mawingu.+Kutokana na mwangaza, kutokana na mvua, majani hutoka katika nchi.’+
17 Walinzi wako ni kama nzige, na maofisa wako wa uandikishaji ni kama kundi la nzige. Wanapiga kambi katika mazizi ya mawe siku yenye baridi. Lazima jua liangaze, nao huruka mbali; na mahali pao hapajulikani.+