Zaburi 32:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Shangilieni katika Yehova na kuwa na shangwe, enyi waadilifu;+Na mpige vigelegele vya shangwe, ninyi nyote mlio wanyoofu katika moyo.+ Zaburi 64:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na mwadilifu atashangilia katika Yehova na kwa kweli atamkimbilia;+Nao wote walio wanyoofu moyoni watajisifu.+
11 Shangilieni katika Yehova na kuwa na shangwe, enyi waadilifu;+Na mpige vigelegele vya shangwe, ninyi nyote mlio wanyoofu katika moyo.+
10 Na mwadilifu atashangilia katika Yehova na kwa kweli atamkimbilia;+Nao wote walio wanyoofu moyoni watajisifu.+