Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 16:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 “Mshukuruni Yehova;+ liitieni jina lake,+

      Yajulisheni matendo yake katikati ya vikundi vya watu!+

  • Zaburi 136:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 136 Mshukuruni Yehova, kwa maana ni mwema:+

      Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+

  • Isaya 12:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Na katika siku hiyo hakika mtasema: “Mpeni Yehova shukrani!+ Liitieni jina lake.+ Tangazeni matendo yake kati ya vikundi vya watu.+ Semeni kwamba jina lake limeinuliwa juu.+

  • Yoeli 2:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Na itakuwa kwamba kila mtu anayeliitia jina la Yehova ataokoka;+ kwa maana katika Mlima Sayuni na katika Yerusalemu kutakuwako wale walioponyoka,+ kama vile ambavyo Yehova amesema, na kati ya waokokaji, ambao Yehova anaita.”+

  • Waroma 10:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa maana “kila mtu anayeliitia jina la Yehova ataokolewa.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki