48 Naye akakusanya vyakula vyote vya ile miaka saba iliyoijia nchi ya Misri, akaviweka vyakula hivyo majijini.+ Vyakula vya shamba lililolizunguka jiji akaviweka katikati yake.+
8 Basi sasa si ninyi ambao mlinileta hapa,+ ila ni Mungu wa kweli, ili aniweke niwe baba+ kwa Farao na bwana kwa nyumba yake yote na kuwa mtawala katika nchi yote ya Misri.