Mwanzo 41:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 “Basi sasa Farao na atafute mtu mwenye busara na mwenye hekima, amweke juu ya nchi ya Misri.+ Mwanzo 41:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Kwa hiyo Farao akawaambia watumishi wake: “Je, kwaweza kupatikana mtu mwingine kama huyu ambaye roho ya Mungu imo ndani yake?”+ Isaya 19:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Wakuu wa Soani+ ni wapumbavu kwelikweli. Na kwa habari ya wenye hekima wa washauri wa Farao, shauri lao ni kitu kisicho cha akili.+ Ninyi mtamwambiaje Farao: “Mimi ni mwana wa wenye hekima, mwana wa wafalme wa kale”?
38 Kwa hiyo Farao akawaambia watumishi wake: “Je, kwaweza kupatikana mtu mwingine kama huyu ambaye roho ya Mungu imo ndani yake?”+
11 Wakuu wa Soani+ ni wapumbavu kwelikweli. Na kwa habari ya wenye hekima wa washauri wa Farao, shauri lao ni kitu kisicho cha akili.+ Ninyi mtamwambiaje Farao: “Mimi ni mwana wa wenye hekima, mwana wa wafalme wa kale”?