Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 41:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 “Basi sasa Farao na atafute mtu mwenye busara na mwenye hekima, amweke juu ya nchi ya Misri.+

  • Mwanzo 41:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Kwa hiyo Farao akawaambia watumishi wake: “Je, kwaweza kupatikana mtu mwingine kama huyu ambaye roho ya Mungu imo ndani yake?”+

  • Isaya 19:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Wakuu wa Soani+ ni wapumbavu kwelikweli. Na kwa habari ya wenye hekima wa washauri wa Farao, shauri lao ni kitu kisicho cha akili.+ Ninyi mtamwambiaje Farao: “Mimi ni mwana wa wenye hekima, mwana wa wafalme wa kale”?

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki