Kutoka 10:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Ndipo Yehova akamwambia Musa: “Ingia ndani kwa Farao, kwa sababu mimi—mimi nimeuacha moyo wake na mioyo ya watumishi wake iwe migumu,+ ili niweke ishara zangu hizi mbele yake,+ Waroma 9:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Hivyo basi, yeye humwonyesha rehema yule ambaye yeye anataka,+ lakini yeye ambaye anataka kumwacha humwacha awe mkaidi.+
10 Ndipo Yehova akamwambia Musa: “Ingia ndani kwa Farao, kwa sababu mimi—mimi nimeuacha moyo wake na mioyo ya watumishi wake iwe migumu,+ ili niweke ishara zangu hizi mbele yake,+
18 Hivyo basi, yeye humwonyesha rehema yule ambaye yeye anataka,+ lakini yeye ambaye anataka kumwacha humwacha awe mkaidi.+