Kutoka 11:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Lakini hakuna mbwa yeyote atakayeuchezesha ulimi wake kwa bidii dhidi ya yeyote wa wana wa Israeli, kuanzia mwanadamu hata mnyama;+ ili mpate kujua kwamba Yehova anaweza kufanyiza tofauti kati ya Wamisri na wana wa Israeli.’+ Kutoka 12:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Na Wamisri wakaanza kuwahimiza watu ili wawafukuze haraka+ kutoka katika nchi hiyo, “kwa sababu,” walisema, “sisi sote ni kana kwamba tumekufa!”+
7 Lakini hakuna mbwa yeyote atakayeuchezesha ulimi wake kwa bidii dhidi ya yeyote wa wana wa Israeli, kuanzia mwanadamu hata mnyama;+ ili mpate kujua kwamba Yehova anaweza kufanyiza tofauti kati ya Wamisri na wana wa Israeli.’+
33 Na Wamisri wakaanza kuwahimiza watu ili wawafukuze haraka+ kutoka katika nchi hiyo, “kwa sababu,” walisema, “sisi sote ni kana kwamba tumekufa!”+