27 Wakaondoka mara moja kutoka mbele ya maskani ya Kora, Dathani na Abiramu, kutoka pande zote, nao Dathani na Abiramu wakatoka nje, wakasimama kwenye mwingilio wa mahema yao,+ pamoja na wake zao, na wana wao na watoto wao wadogo.
10 Ndipo dunia ikafungua kinywa chake na kuwameza.+ Naye Kora, alikufa kwenye kifo cha kusanyiko wakati ambapo moto uliwateketeza watu 250.+ Nao wakaja kuwa mfano.+
6 wala mambo aliyowatendea Dathani na Abiramu+ wana wa Eliabu mwana wa Rubeni, wakati dunia ilipofungua kinywa chake na kuwameza pamoja na nyumba zao na mahema yao na kila kitu kilichokuwako ambacho kilipiga hatua na kuwafuata katikati ya Israeli yote);+