2 Na wana wote wa Israeli wakaanza kunung’unika juu ya Musa na Haruni,+ na kusanyiko lote likaanza kusema dhidi yao: “Laiti tungalikufa katika nchi ya Misri, au laiti tungalikufa katika nyika hii!
27 “Kusanyiko hili lenye uovu litaendelea kuwa na manung’uniko haya ambayo linaendeleza juu yangu mpaka wakati gani?+ Nimesikia manung’uniko ya wana wa Israeli wanayonung’unika juu yangu.+
27 Nanyi mkanung’unika katika mahema yenu na kusema, ‘Kwa sababu Yehova alituchukia,+ ndiyo maana alitutoa katika nchi ya Misri+ atutie mkononi mwa Waamori, ili kutuangamiza.+