2 Wafalme 6:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Naye akasema: “Yehova asipokuokoa wewe, mimi nitakuokoa kutoka chanzo gani?+ ni kutoka uwanja wa kupuria au ni kutoka divai au shinikizo la mafuta?” Zaburi 22:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Usikae mbali nami, kwa sababu taabu iko karibu,+Kwa sababu hakuna msaidizi mwingine.+
27 Naye akasema: “Yehova asipokuokoa wewe, mimi nitakuokoa kutoka chanzo gani?+ ni kutoka uwanja wa kupuria au ni kutoka divai au shinikizo la mafuta?”