Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 68:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Mungu anawafanya wapweke wakae katika nyumba;+

      Anawafanikisha kabisa wafungwa.+

      Hata hivyo, walio wakaidi, lazima wakae katika nchi iliyokauka.+

  • Isaya 49:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 kuwaambia wafungwa,+ ‘Tokeni nje!’+ kuwaambia wale walio gizani,+ ‘Jifunueni!’+ Watalisha kando ya njia, na malisho yao yatakuwa kwenye mapito yote yaliyokanyagwa.+

  • Waefeso 5:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 kwa maana wakati mmoja ninyi mlikuwa giza,+ bali sasa ninyi ni nuru+ kuhusiana na Bwana. Endeleeni kutembea kama watoto wa nuru,

  • 1 Petro 2:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Lakini ninyi ni “jamii iliyochaguliwa, ukuhani wa kifalme, taifa takatifu,+ watu wa kuwa mali ya pekee,+ ili mtangaze kotekote sifa bora”+ zake yeye aliyewaita ninyi kutoka katika giza kuingia katika nuru yake ya ajabu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki