Methali 1:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kumwogopa Yehova ndio mwanzo wa ujuzi.+ Wapumbavu wamedharau hekima na nidhamu.+ Maombolezo 3:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Mwanadamu aliye hai, mwanamume, anawezaje kuzoea kulalamika+ kwa sababu ya dhambi yake?+