Ayubu 12:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Wao hupapasa gizani,+ pasipo na nuru,Ili aweze kuwafanya watange-tange kama mlevi.+ Isaya 19:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Yehova mwenyewe amechanganya katikati yake roho ya mvurugo;+ nao wamesababisha Misri kwenda huku na huku katika kazi yake yote, kama mtu aliyelewa anavyogaagaa katika matapiko yake.+
14 Yehova mwenyewe amechanganya katikati yake roho ya mvurugo;+ nao wamesababisha Misri kwenda huku na huku katika kazi yake yote, kama mtu aliyelewa anavyogaagaa katika matapiko yake.+