Zaburi 146:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Yeye anayetekeleza hukumu kwa ajili ya waliopunjwa,+Yeye anayewapa wenye njaa mkate.+Yehova anawafungua wale waliofungwa.+ Luka 1:53 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 53 amewashibisha kabisa wenye njaa kwa vitu vyema+ na wale waliokuwa na mali amewaacha waende mikono mitupu.+
7 Yeye anayetekeleza hukumu kwa ajili ya waliopunjwa,+Yeye anayewapa wenye njaa mkate.+Yehova anawafungua wale waliofungwa.+
53 amewashibisha kabisa wenye njaa kwa vitu vyema+ na wale waliokuwa na mali amewaacha waende mikono mitupu.+