7 Kwa maana hakuwa amemwachia Yehoahazi watu wowote isipokuwa wapanda-farasi 50 na magari 10 na watu 10,000 wanaoenda kwa miguu,+ kwa sababu mfalme wa Siria alikuwa amewaharibu,+ ili awafanye kuwa kama mavumbi wakati wa kupura.+
5 Na nyakati hizo hapakuwa na amani kwa yule anayetoka wala kwa yule anayeingia,+ kwa sababu kulikuwa na machafuko mengi kati ya wakaaji wote wa nchi mbalimbali.+
34 “Nebukadreza mfalme wa Babiloni amenila;+ amenivuruga. Ameniweka kuwa kama chombo kitupu. Amenimeza kama nyoka mkubwa;+ amelijaza tumbo lake kwa vitu vyangu vyenye kupendeza. Amenioshea mbali.