Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 6:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na ikatukia kwamba, Israeli wakipanda mbegu,+ Midiani na Amaleki+ na watu wa Mashariki+ walikuwa wakija, ndiyo, walikuja kupigana nao.

  • 2 Wafalme 10:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Siku hizo Yehova akaanza kukatilia mbali Israeli kipande kimoja baada ya kingine; na Hazaeli+ akaendelea kuwapiga katika eneo lote la Israeli,

  • 2 Wafalme 13:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kwa maana hakuwa amemwachia Yehoahazi watu wowote isipokuwa wapanda-farasi 50 na magari 10 na watu 10,000 wanaoenda kwa miguu,+ kwa sababu mfalme wa Siria alikuwa amewaharibu,+ ili awafanye kuwa kama mavumbi wakati wa kupura.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 15:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na nyakati hizo hapakuwa na amani kwa yule anayetoka wala kwa yule anayeingia,+ kwa sababu kulikuwa na machafuko mengi kati ya wakaaji wote wa nchi mbalimbali.+

  • Yeremia 51:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 “Nebukadreza mfalme wa Babiloni amenila;+ amenivuruga. Ameniweka kuwa kama chombo kitupu. Amenimeza kama nyoka mkubwa;+ amelijaza tumbo lake kwa vitu vyangu vyenye kupendeza. Amenioshea mbali.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki