Zaburi 60:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Utusaidie kutoka katika taabu,+Kwa maana wokovu wa mtu wa udongo haufai kitu.+ Zaburi 118:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ni afadhali kupata kimbilio katika Yehova+Kuliko kumtegemea mtu wa udongo.+ Zaburi 146:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Msiweke tegemeo lenu katika watu wenye vyeo,+Wala katika mtu wa udongo, ambaye hana wokovu wowote.+
3 Msiweke tegemeo lenu katika watu wenye vyeo,+Wala katika mtu wa udongo, ambaye hana wokovu wowote.+