51 Nao hakika watakula uzao wa wanyama wako wa kufugwa na mazao ya udongo wako mpaka utakapokuwa umeangamizwa,+ nao hawatakuachia nafaka yoyote, divai mpya au mafuta, mtoto wa ng’ombe wako au uzao wa kundi lako, mpaka watakapokuwa wamekuangamiza.+
5 Kwa maana wao pamoja na mifugo yao walikuwa wakija na mahema yao. Walikuja wakiwa wengi kama nzige,+ na wao pamoja na ngamia zao hawakuwa na hesabu;+ nao walikuwa wakiingia katika nchi ili kuiharibu.+