45 “Na laana zote hizo+ hakika zitakujia na kukufuata na kukufikia mpaka utakapokuwa umeangamizwa,+ kwa sababu hukuisikiliza sauti ya Yehova Mungu wako kwa kushika amri zake na kanuni zake alizokuamuru.+
6 “ ‘Kwa hiyo kama ninavyoishi,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, ‘kwa sababu nilikuwa nikikutayarisha kwa ajili ya damu, damu yenyewe pia itakufuatilia wewe.+ Hakika damu ndiyo uliyoichukia, na damu yenyewe ndiyo itakayokufuatilia.+