Zaburi 40:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Lakini mimi ninateseka nami ni maskini.+Yehova mwenyewe ananijali.+Wewe ni msaidizi wangu na Mwokoaji wangu.+Ee Mungu wangu, usichelewe mno.+ Zaburi 86:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 86 Utege sikio lako, Ee Yehova. Unijibu,+Kwa maana ninateseka nami ni maskini.+ 2 Wakorintho 8:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana mnazijua fadhili zisizostahiliwa za Bwana wetu Yesu Kristo, kwamba ingawa alikuwa tajiri, alikuja kuwa maskini kwa ajili yenu,+ ili muwe matajiri+ kupitia umaskini wake.
17 Lakini mimi ninateseka nami ni maskini.+Yehova mwenyewe ananijali.+Wewe ni msaidizi wangu na Mwokoaji wangu.+Ee Mungu wangu, usichelewe mno.+
9 Kwa maana mnazijua fadhili zisizostahiliwa za Bwana wetu Yesu Kristo, kwamba ingawa alikuwa tajiri, alikuja kuwa maskini kwa ajili yenu,+ ili muwe matajiri+ kupitia umaskini wake.