Ayubu 9:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Anafanya mambo makuu yasiyochunguzika,+Na mambo ya ajabu yasiyo na hesabu.+ Ayubu 42:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Nimepata kujua kwamba unaweza kufanya mambo yote,+Wala hakuna wazo lolote ambalo huwezi kulifikia.+ Zaburi 92:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Jinsi zilivyo kuu kazi zako, Ee Yehova!+Fikira zako ni zenye kina kikubwa sana.+ Zaburi 98:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 98 Mwimbieni Yehova wimbo mpya,+Kwa maana ametenda mambo ya ajabu.+Mkono wake wa kuume, naam, mkono wake mtakatifu, umempatia wokovu.+ Zaburi 104:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Jinsi kazi zako zilivyo nyingi, Ee Yehova!+Zote umezifanya kwa hekima.+Dunia imejaa vitu ulivyotokeza.+ Zaburi 139:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nitakusifu kwa sababu nimeumbwa kwa njia ya ajabu yenye kuogopesha.+Kazi zako ni za ajabu,+Kama vile nafsi yangu inavyojua vema.+ Isaya 40:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ni nani ambaye amepima maji katika mkono wake,+ na kupima vipimo vya mbingu kwa shubiri+ na kuweka katika kipimio mavumbi ya dunia,+ au kupima milima kwa kipimio, na vilima katika mizani? Ufunuo 15:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Nao wanaimba wimbo wa Musa+ mtumwa wa Mungu na wimbo wa Mwana-Kondoo,+ wakisema: “Matendo yako ni makuu na ya ajabu,+ Yehova Mungu, Mweza-Yote.+ Njia zako ni za uadilifu na za kweli,+ Mfalme wa umilele.+
2 “Nimepata kujua kwamba unaweza kufanya mambo yote,+Wala hakuna wazo lolote ambalo huwezi kulifikia.+
98 Mwimbieni Yehova wimbo mpya,+Kwa maana ametenda mambo ya ajabu.+Mkono wake wa kuume, naam, mkono wake mtakatifu, umempatia wokovu.+
24 Jinsi kazi zako zilivyo nyingi, Ee Yehova!+Zote umezifanya kwa hekima.+Dunia imejaa vitu ulivyotokeza.+
14 Nitakusifu kwa sababu nimeumbwa kwa njia ya ajabu yenye kuogopesha.+Kazi zako ni za ajabu,+Kama vile nafsi yangu inavyojua vema.+
12 Ni nani ambaye amepima maji katika mkono wake,+ na kupima vipimo vya mbingu kwa shubiri+ na kuweka katika kipimio mavumbi ya dunia,+ au kupima milima kwa kipimio, na vilima katika mizani?
3 Nao wanaimba wimbo wa Musa+ mtumwa wa Mungu na wimbo wa Mwana-Kondoo,+ wakisema: “Matendo yako ni makuu na ya ajabu,+ Yehova Mungu, Mweza-Yote.+ Njia zako ni za uadilifu na za kweli,+ Mfalme wa umilele.+