Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 9:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Anafanya mambo makuu yasiyochunguzika,+

      Na mambo ya ajabu yasiyo na hesabu.+

  • Ayubu 42:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 “Nimepata kujua kwamba unaweza kufanya mambo yote,+

      Wala hakuna wazo lolote ambalo huwezi kulifikia.+

  • Zaburi 92:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Jinsi zilivyo kuu kazi zako, Ee Yehova!+

      Fikira zako ni zenye kina kikubwa sana.+

  • Zaburi 98:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 98 Mwimbieni Yehova wimbo mpya,+

      Kwa maana ametenda mambo ya ajabu.+

      Mkono wake wa kuume, naam, mkono wake mtakatifu, umempatia wokovu.+

  • Zaburi 104:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Jinsi kazi zako zilivyo nyingi, Ee Yehova!+

      Zote umezifanya kwa hekima.+

      Dunia imejaa vitu ulivyotokeza.+

  • Zaburi 139:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Nitakusifu kwa sababu nimeumbwa kwa njia ya ajabu yenye kuogopesha.+

      Kazi zako ni za ajabu,+

      Kama vile nafsi yangu inavyojua vema.+

  • Isaya 40:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Ni nani ambaye amepima maji katika mkono wake,+ na kupima vipimo vya mbingu kwa shubiri+ na kuweka katika kipimio mavumbi ya dunia,+ au kupima milima kwa kipimio, na vilima katika mizani?

  • Ufunuo 15:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Nao wanaimba wimbo wa Musa+ mtumwa wa Mungu na wimbo wa Mwana-Kondoo,+ wakisema:

      “Matendo yako ni makuu na ya ajabu,+ Yehova Mungu, Mweza-Yote.+ Njia zako ni za uadilifu na za kweli,+ Mfalme wa umilele.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki