Zaburi 15:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Pesa zake hakutoa ili apate faida,+Wala hakuchukua rushwa dhidi ya mtu asiye na hatia.+Yeye anayefanya mambo hayo hatatikiswa.+ Zaburi 125:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 125 Wale wanaomtegemea Yehova+Ni kama Mlima Sayuni,+ ambao hauwezi kutikiswa, bali hukaa mpaka wakati usio na kipimo.+ Methali 2:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa maana wanyoofu ndio watakaokaa duniani,+ na wasio na lawama ndio watakaobaki ndani yake.+ 2 Petro 1:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa sababu hiyo, akina ndugu, fanyeni hata zaidi yote mnayoweza ili kufanya mwito+ na kuchaguliwa+ kwenu kuwe hakika kwa ajili yenu wenyewe; kwa maana mkiendelea kufanya mambo hayo hamtashindwa hata kidogo.+
5 Pesa zake hakutoa ili apate faida,+Wala hakuchukua rushwa dhidi ya mtu asiye na hatia.+Yeye anayefanya mambo hayo hatatikiswa.+
125 Wale wanaomtegemea Yehova+Ni kama Mlima Sayuni,+ ambao hauwezi kutikiswa, bali hukaa mpaka wakati usio na kipimo.+
10 Kwa sababu hiyo, akina ndugu, fanyeni hata zaidi yote mnayoweza ili kufanya mwito+ na kuchaguliwa+ kwenu kuwe hakika kwa ajili yenu wenyewe; kwa maana mkiendelea kufanya mambo hayo hamtashindwa hata kidogo.+