Zaburi 27:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Mtumaini Yehova;+ uwe hodari na moyo wako uwe na nguvu.+Naam, mtumaini Yehova.+ Zaburi 31:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Iweni hodari, nayo mioyo yenu na iwe na nguvu,+Ninyi nyote mnaomngojea Yehova.+