Kumbukumbu la Torati 15:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana maskini hatakosa kamwe kuwako katika nchi.+ Ndiyo sababu ninakuamuru, na kusema, ‘Unapaswa kuufungua mkono wako kwa ukarimu kwa ndugu yako anayeteseka na aliye maskini katika nchi yako.’+ Methali 11:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kuna mtu anayetawanya na bado anaongezewa;+ pia kuna mtu anayewanyima wengine yaliyo sawa, lakini hilo huleta uhitaji tu.+ Methali 19:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Anayemwonyesha kibali mtu wa hali ya chini anamkopesha Yehova,+ na Yeye atamlipa matendo yake.+ Mhubiri 11:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Wape fungu watu saba, au hata wanane,+ kwa maana hujui ni msiba gani utakaotokea duniani.+ 2 Wakorintho 9:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 (Kama ilivyoandikwa: “Amegawa kwa wingi, amewapa maskini, uadilifu wake unaendelea milele.”+
11 Kwa maana maskini hatakosa kamwe kuwako katika nchi.+ Ndiyo sababu ninakuamuru, na kusema, ‘Unapaswa kuufungua mkono wako kwa ukarimu kwa ndugu yako anayeteseka na aliye maskini katika nchi yako.’+
24 Kuna mtu anayetawanya na bado anaongezewa;+ pia kuna mtu anayewanyima wengine yaliyo sawa, lakini hilo huleta uhitaji tu.+