Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 20:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Lakini Daudi akaapa+ tena na kusema: “Hakika baba yako anajua kwamba nimepata kibali machoni pako,+ na hivyo atasema, ‘Yonathani asijue jambo hili, asije akaumia moyoni.’ Lakini, kwa kweli, kama Yehova anavyoishi+ na kama nafsi yako inavyoishi,+ kuna kama hatua moja tu kati yangu na kifo!”+

  • Zaburi 116:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Kamba za kifo zilinizunguka+

      Na hali zenye kutaabisha za Kaburi* zikanipata.+

      Nikaendelea kupata taabu na huzuni.+

  • Mathayo 26:66
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 66 Mnaonaje?” Wakamjibu: “Anastahili kufa.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki