13 Kwa vyovyote unapaswa kumrudishia rehani hiyo mara tu baada ya jua kutua,+ naye ataenda kulala na vazi lake,+ naye atakubariki;+ nalo hilo litamaanisha uadilifu kwako mbele za Yehova Mungu wako.+
10 Kwa maana Mungu hakosi kuwa mwadilifu hivi kwamba asahau kazi yenu na upendo mlioonyesha kwa ajili ya jina lake,+ kwa kuwa mmewahudumia watakatifu+ nanyi mnaendelea kuhudumu.