Zaburi 33:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Pigeni vigelegele vya shangwe, enyi waadilifu, kwa sababu ya Yehova.+Sifa ni jambo linalofaa kwa wanyoofu.+ Zaburi 103:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Mbarikini Yehova, enyi majeshi yake yote,+Enyi wahudumu wake, mnaofanya mapenzi yake.+ Waefeso 5:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 mkijisemesha kwa zaburi+ na sifa+ kwa Mungu na nyimbo za kiroho, mkiimba+ na kupiga muziki+ katika mioyo yenu kwa Yehova, Ufunuo 19:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Pia, sauti ikatoka katika kile kiti cha ufalme na kusema: “Muwe mkimsifu Mungu wetu, enyi nyote watumwa wake,+ ambao mnamwogopa, wadogo kwa wakubwa.”+
33 Pigeni vigelegele vya shangwe, enyi waadilifu, kwa sababu ya Yehova.+Sifa ni jambo linalofaa kwa wanyoofu.+
19 mkijisemesha kwa zaburi+ na sifa+ kwa Mungu na nyimbo za kiroho, mkiimba+ na kupiga muziki+ katika mioyo yenu kwa Yehova,
5 Pia, sauti ikatoka katika kile kiti cha ufalme na kusema: “Muwe mkimsifu Mungu wetu, enyi nyote watumwa wake,+ ambao mnamwogopa, wadogo kwa wakubwa.”+