Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 33:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Pigeni vigelegele vya shangwe, enyi waadilifu, kwa sababu ya Yehova.+

      Sifa ni jambo linalofaa kwa wanyoofu.+

  • Zaburi 103:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Mbarikini Yehova, enyi majeshi yake yote,+

      Enyi wahudumu wake, mnaofanya mapenzi yake.+

  • Waefeso 5:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 mkijisemesha kwa zaburi+ na sifa+ kwa Mungu na nyimbo za kiroho, mkiimba+ na kupiga muziki+ katika mioyo yenu kwa Yehova,

  • Ufunuo 19:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Pia, sauti ikatoka katika kile kiti cha ufalme na kusema: “Muwe mkimsifu Mungu wetu, enyi nyote watumwa wake,+ ambao mnamwogopa, wadogo kwa wakubwa.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki