7 Nami hakika nitawachukua kwangu muwe watu wangu,+ nami kwa kweli nitakuwa Mungu kwenu;+ nanyi hakika mtajua kwamba mimi ni Yehova Mungu wenu anayewatoa kutoka chini ya mizigo ya Misri.+
9 Ndipo Musa na makuhani Walawi wakasema na Israeli wote, na kuwaambia: “Kaa kimya, usikilize, Ee Israeli. Leo umekuwa kikundi cha watu wa Yehova Mungu wako.+