Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 4:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Na huko mtalazimika kuitumikia miungu mingine,+ kazi ya mikono ya mwanadamu, miti na mawe,+ ambayo haiwezi kuona wala kusikia wala kula wala kunusa.+

  • Isaya 40:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Fundi ametengeneza tu sanamu ya kuyeyushwa,+ na fundi wa chuma huifunika kwa dhahabu,+ naye anafua minyororo ya fedha.+

  • Isaya 44:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Lakini mabaki yake huyafanya kuwa mungu, kuwa sanamu yake ya kuchongwa. Huisujudia na kuinama na kuitolea sala na kusema: “Nikomboe, kwa maana wewe ni mungu wangu.”+

  • Yeremia 10:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa maana desturi za vikundi vya watu+ ni pumzi tu, kwa sababu ni mti+ tu ambao mtu amekata kutoka msituni, kazi ya mikono ya fundi mwenye tezo.+

  • Matendo 19:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Pia, mnaona na kusikia jinsi si katika Efeso+ tu, bali pia katika karibu wilaya yote ya Asia, Paulo huyu ameshawishi umati mkubwa na kuwageuza kwenye kauli nyingine, akisema kwamba wale waliofanywa kwa mikono+ si miungu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki