1 Samweli 3:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na taa ya Mungu ilikuwa haijazimwa bado, na Samweli alikuwa amelala katika hekalu+ la Yehova, palipokuwa sanduku la Mungu. 2 Samweli 22:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Katika taabu yangu niliendelea kumwita Yehova,+Nami niliendelea kumwita Mungu wangu.+Ndipo kutoka katika hekalu lake akaisikia sauti yangu,+Kilio changu cha kuomba msaada kikaingia masikioni mwake.+ 1 Mambo ya Nyakati 16:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Hivyo wakaliingiza ndani sanduku la Mungu wa kweli+ na kuliweka ndani ya hema ambalo Daudi alikuwa amelisimamishia;+ nao wakaanza kutoa matoleo ya kuteketezwa na dhabihu za ushirika mbele za Mungu wa kweli.+ Zaburi 11:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Yehova yumo katika hekalu lake takatifu.+Yehova—kiti chake cha ufalme kiko mbinguni.+Macho yake yanaangalia, macho yake yanayong’aa yanawachunguza+ wana wa binadamu. Yona 2:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Nafsi yangu ilipozimia ndani yangu,+ Yehova Ndiye niliyemkumbuka.+Ndipo sala yangu ikaingia kwako, ndani ya hekalu lako takatifu.+
3 Na taa ya Mungu ilikuwa haijazimwa bado, na Samweli alikuwa amelala katika hekalu+ la Yehova, palipokuwa sanduku la Mungu.
7 Katika taabu yangu niliendelea kumwita Yehova,+Nami niliendelea kumwita Mungu wangu.+Ndipo kutoka katika hekalu lake akaisikia sauti yangu,+Kilio changu cha kuomba msaada kikaingia masikioni mwake.+
16 Hivyo wakaliingiza ndani sanduku la Mungu wa kweli+ na kuliweka ndani ya hema ambalo Daudi alikuwa amelisimamishia;+ nao wakaanza kutoa matoleo ya kuteketezwa na dhabihu za ushirika mbele za Mungu wa kweli.+
4 Yehova yumo katika hekalu lake takatifu.+Yehova—kiti chake cha ufalme kiko mbinguni.+Macho yake yanaangalia, macho yake yanayong’aa yanawachunguza+ wana wa binadamu.
7 Nafsi yangu ilipozimia ndani yangu,+ Yehova Ndiye niliyemkumbuka.+Ndipo sala yangu ikaingia kwako, ndani ya hekalu lako takatifu.+