Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 3:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na taa ya Mungu ilikuwa haijazimwa bado, na Samweli alikuwa amelala katika hekalu+ la Yehova, palipokuwa sanduku la Mungu.

  • 2 Samweli 22:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Katika taabu yangu niliendelea kumwita Yehova,+

      Nami niliendelea kumwita Mungu wangu.+

      Ndipo kutoka katika hekalu lake akaisikia sauti yangu,+

      Kilio changu cha kuomba msaada kikaingia masikioni mwake.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 16:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Hivyo wakaliingiza ndani sanduku la Mungu wa kweli+ na kuliweka ndani ya hema ambalo Daudi alikuwa amelisimamishia;+ nao wakaanza kutoa matoleo ya kuteketezwa na dhabihu za ushirika mbele za Mungu wa kweli.+

  • Zaburi 11:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Yehova yumo katika hekalu lake takatifu.+

      Yehova—kiti chake cha ufalme kiko mbinguni.+

      Macho yake yanaangalia, macho yake yanayong’aa yanawachunguza+ wana wa binadamu.

  • Yona 2:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Nafsi yangu ilipozimia ndani yangu,+ Yehova Ndiye niliyemkumbuka.+

      Ndipo sala yangu ikaingia kwako, ndani ya hekalu lako takatifu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki