Zaburi 6:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana katika kifo wewe hutajwi;+Katika Kaburi* ni nani atakayekusifu?+ Zaburi 30:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Damu yangu ina faida gani ninaposhuka katika shimo?+Je, mavumbi yatakusifu wewe?+ Je, yatasema juu ya ukweli wako?+ Zaburi 118:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Sitakufa, bali nitaendelea kuishi,+Ili nizitangaze kazi za Yah.+ Mhubiri 9:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana walio hai wanajua kwamba watakufa;+ lakini wafu, hawajui lolote kamwe,+ wala hawana malipo tena, kwa maana kumbukumbu lao limesahauliwa.+ Isaya 38:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa maana Kaburi* haliwezi kukusifu;+ kifo hakiwezi kukusifu.+Wale wanaoshuka shimoni hawawezi kuutumaini ukweli wako.+
9 Damu yangu ina faida gani ninaposhuka katika shimo?+Je, mavumbi yatakusifu wewe?+ Je, yatasema juu ya ukweli wako?+
5 Kwa maana walio hai wanajua kwamba watakufa;+ lakini wafu, hawajui lolote kamwe,+ wala hawana malipo tena, kwa maana kumbukumbu lao limesahauliwa.+
18 Kwa maana Kaburi* haliwezi kukusifu;+ kifo hakiwezi kukusifu.+Wale wanaoshuka shimoni hawawezi kuutumaini ukweli wako.+