1 Mambo ya Nyakati 29:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Na Daudi akaendelea kuliambia kutaniko lote:+ “Sasa mbarikini+ Yehova, Mungu wenu.” Nalo kutaniko lote wakambariki Yehova, Mungu wa mababu zao, wakainama+ na kumsujudia+ Yehova na mfalme. Zaburi 68:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Mwimbieni Mungu, lipigieni jina lake muziki;+Mwimbieni wimbo Yeye anayepanda akipitia nchi tambarare za jangwani+Akiwa Yah, ambalo ndilo jina lake;+ na kushangilia mbele zake;
20 Na Daudi akaendelea kuliambia kutaniko lote:+ “Sasa mbarikini+ Yehova, Mungu wenu.” Nalo kutaniko lote wakambariki Yehova, Mungu wa mababu zao, wakainama+ na kumsujudia+ Yehova na mfalme.
4 Mwimbieni Mungu, lipigieni jina lake muziki;+Mwimbieni wimbo Yeye anayepanda akipitia nchi tambarare za jangwani+Akiwa Yah, ambalo ndilo jina lake;+ na kushangilia mbele zake;