Zaburi 94:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Niliposema: “Hakika mguu wangu utatembea ukitikisika,”+Fadhili zako zenye upendo, Ee Yehova, ziliendelea kunitegemeza.+ Zaburi 100:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana Yehova ni mwema;+Fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo,+Na uaminifu wake ni wa kizazi baada ya kizazi.+ Maombolezo 3:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Ni kutokana na matendo ya fadhili zenye upendo+ za Yehova kwamba hatujaisha,+ kwa maana hakika rehema zake hazitakoma.+
18 Niliposema: “Hakika mguu wangu utatembea ukitikisika,”+Fadhili zako zenye upendo, Ee Yehova, ziliendelea kunitegemeza.+
5 Kwa maana Yehova ni mwema;+Fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo,+Na uaminifu wake ni wa kizazi baada ya kizazi.+
22 Ni kutokana na matendo ya fadhili zenye upendo+ za Yehova kwamba hatujaisha,+ kwa maana hakika rehema zake hazitakoma.+