Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 12:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na roho+ ikamfunika Amasai, kichwa cha wale 30:

      “Sisi ni wako, Ee Daudi, nasi tuko pamoja nawe,+ Ee mwana wa Yese.

      Amani, amani iwe yako, na amani kwa yule anayekusaidia,

      Kwa maana Mungu wako amekusaidia.”+

      Basi Daudi akawapokea, akawaweka kati ya vichwa vya vikosi.+

  • Zaburi 54:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Tazama! Mungu ni msaidizi wangu;+

      Yehova yuko kati ya wale wanaoitegemeza nafsi yangu.

  • Mathayo 26:53
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 53 Au unafikiri kwamba siwezi kumwomba Baba yangu anipe sasa hivi vikosi zaidi ya kumi na viwili vya malaika?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki