Zaburi 83:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kama moto unaoteketeza msitu+Na kama mwali wa moto unaounguza milima,+ Mhubiri 7:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana kicheko cha mjinga+ ni kama sauti ya miiba chini ya chungu; na hilo pia ni ubatili. Isaya 27:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Mimi sina ghadhabu.+ Ni nani atakayenipa vichaka vya miiba+ na magugu katika pigano? Nitavikanyaga hivyo. Nitaviwasha moto kwa wakati mmoja.+ Nahumu 1:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Ijapokuwa wanasokotwa kama miiba+ nao wamelewa kama kwa pombe yao ya ngano,+ watamezwa kama majani yaliyokauka kabisa.+
4 Mimi sina ghadhabu.+ Ni nani atakayenipa vichaka vya miiba+ na magugu katika pigano? Nitavikanyaga hivyo. Nitaviwasha moto kwa wakati mmoja.+
10 Ijapokuwa wanasokotwa kama miiba+ nao wamelewa kama kwa pombe yao ya ngano,+ watamezwa kama majani yaliyokauka kabisa.+