Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 83:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kama moto unaoteketeza msitu+

      Na kama mwali wa moto unaounguza milima,+

  • Mhubiri 7:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Kwa maana kicheko cha mjinga+ ni kama sauti ya miiba chini ya chungu; na hilo pia ni ubatili.

  • Isaya 27:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Mimi sina ghadhabu.+ Ni nani atakayenipa vichaka vya miiba+ na magugu katika pigano? Nitavikanyaga hivyo. Nitaviwasha moto kwa wakati mmoja.+

  • Nahumu 1:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Ijapokuwa wanasokotwa kama miiba+ nao wamelewa kama kwa pombe yao ya ngano,+ watamezwa kama majani yaliyokauka kabisa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki