9 Kwa maana tazama! jiwe+ ambalo nimeweka mbele ya Yoshua! Juu ya jiwe hilo moja kuna macho saba.+ Tazama, mimi ninachora mchoro wake,’+ asema Yehova wa majeshi, ‘nami nitaondolea mbali kosa la nchi hiyo katika siku moja.’+
2 Kwa maana anasema: “Katika wakati unaokubalika nilikusikia, na katika siku ya wokovu nilikusaidia.”+ Tazama! Sasa ndio wakati unaokubalika+ hasa. Tazama! Sasa ndiyo siku ya wokovu.+