Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 69:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Lakini mimi, nilikutolea sala, Ee Yehova,+

      Wakati unaofaa, Ee Mungu.+

      Katika wingi wa fadhili zako zenye upendo unijibu kwa kweli ya wokovu wako.+

  • Zekaria 3:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kwa maana tazama! jiwe+ ambalo nimeweka mbele ya Yoshua! Juu ya jiwe hilo moja kuna macho saba.+ Tazama, mimi ninachora mchoro wake,’+ asema Yehova wa majeshi, ‘nami nitaondolea mbali kosa la nchi hiyo katika siku moja.’+

  • 2 Wakorintho 6:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kwa maana anasema: “Katika wakati unaokubalika nilikusikia, na katika siku ya wokovu nilikusaidia.”+ Tazama! Sasa ndio wakati unaokubalika+ hasa. Tazama! Sasa ndiyo siku ya wokovu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki