Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 23:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 “Sema na wana wa Israeli, na kuwaambia, ‘Katika siku ya kumi na tano ya mwezi huu wa saba ni sherehe ya vibanda muda wa siku saba kwa Yehova.+

  • Mathayo 21:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Walio wengi katika umati wakatandaza mavazi+ yao ya nje barabarani, nao wengine wakaanza kukata matawi kutoka kwenye miti na kuyatandaza barabarani.+

  • Yohana 12:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 wakachukua matawi ya mitende+ na kutoka nje wakutane naye. Nao wakaanza kupaaza sauti:+ “Mwokoe, tunaomba!+ Aliyebarikiwa ni yule anayekuja katika jina la Yehova,+ naam, mfalme+ wa Israeli!”

  • Ufunuo 7:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Baada ya mambo haya nikaona, na, tazama! umati mkubwa,+ ambao hakuna mtu aliyeweza kuuhesabu, kutoka mataifa+ yote na makabila na vikundi vya watu+ na lugha,+ wamesimama mbele ya kiti cha ufalme+ na mbele ya Mwana-Kondoo, wamevikwa kanzu nyeupe;+ na kulikuwa na matawi ya mitende+ mikononi mwao.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki