10 Yehova naye akawavuruga mbele ya Israeli,+ nao wakaanza kuwaua kwa mauaji makuu katika Gibeoni,+ wakawafuatilia kwa njia ya mpando wa Beth-horoni, wakawaua mpaka Azeka+ na Makeda.+
30 Na Yehova hakika atafanya utukufu wa sauti+ yake usikiwe naye atafanya kushuka kwa mkono wake kuonekane,+ katika kuwaka kwa hasira+ na mwali wa moto unaoteketeza+ na tufani ya mvua na dhoruba ya mvua+ na mawe ya mvua.+