2 Samweli 22:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Naye akaendelea kuitupa mishale, ili awatawanye;+Umeme, ili awavuruge.+ Ayubu 36:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Amefunika umeme katika mikono yake,Naye huweka amri juu yake dhidi ya mshambuliaji.+ Zaburi 144:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Angaza kwa umeme ili upate kuwatawanya;+Itume mishale yako ili upate kuwavuruga.+