Kumbukumbu la Torati 1:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 ‘Hakuna hata mmoja kati ya watu hawa wa kizazi hiki kiovu atakayeiona ile nchi nzuri niliyoapa ya kwamba nitawapa baba zenu,+ Kumbukumbu la Torati 6:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 “Ikiwa mwana wako atakuuliza katika siku fulani wakati ujao,+ akisema, ‘Ushuhuda na masharti na maamuzi ya hukumu ambayo Yehova Mungu wetu amewaamuru ninyi yanamaanisha nini?’ Zaburi 105:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kumbukeni kazi zake za ajabu ambazo amefanya,+Miujiza yake na maamuzi ya hukumu ya kinywa chake,+
35 ‘Hakuna hata mmoja kati ya watu hawa wa kizazi hiki kiovu atakayeiona ile nchi nzuri niliyoapa ya kwamba nitawapa baba zenu,+
20 “Ikiwa mwana wako atakuuliza katika siku fulani wakati ujao,+ akisema, ‘Ushuhuda na masharti na maamuzi ya hukumu ambayo Yehova Mungu wetu amewaamuru ninyi yanamaanisha nini?’