Zaburi 19:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Sheria+ ya Yehova ni kamilifu,+ huirudisha nafsi.+Kikumbusho+ cha Yehova ni chenye kutegemeka,+ humfanya asiye na uzoefu awe na hekima.+ Zaburi 119:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nimeshangilia katika njia ya vikumbusho vyako,+Kama vile katika mambo mengine yote yenye thamani.+ Zaburi 119:168 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 168 Nimeyashika maagizo yako na vikumbusho vyako,+Kwa maana njia zangu zote ziko mbele zako.+
7 Sheria+ ya Yehova ni kamilifu,+ huirudisha nafsi.+Kikumbusho+ cha Yehova ni chenye kutegemeka,+ humfanya asiye na uzoefu awe na hekima.+
14 Nimeshangilia katika njia ya vikumbusho vyako,+Kama vile katika mambo mengine yote yenye thamani.+