2 Mambo ya Nyakati 32:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Lakini Hezekia+ mfalme na Isaya+ mwana wa Amozi,+ nabii,+ wakaendelea kusali kuhusu jambo hilo+ na kuendelea kuzililia mbingu ili kupata msaada.+ Zaburi 38:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa maana nilisema juu ya kosa langu mwenyewe;+Nikaanza kuhangaikia dhambi yangu.+ Methali 28:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Anayefunika makosa yake hatafanikiwa,+ lakini yeye anayeyaungama na kuyaacha ataonyeshwa rehema.+ Isaya 38:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 na kusema: “Nakuomba, Ee Yehova, tafadhali ukumbuke+ jinsi nilivyotembea+ mbele zako kwa ukweli+ na kwa moyo mkamilifu,+ nami nimetenda yaliyokuwa mema machoni pako.” Na Hezekia akaanza kulia sana.+
20 Lakini Hezekia+ mfalme na Isaya+ mwana wa Amozi,+ nabii,+ wakaendelea kusali kuhusu jambo hilo+ na kuendelea kuzililia mbingu ili kupata msaada.+
3 na kusema: “Nakuomba, Ee Yehova, tafadhali ukumbuke+ jinsi nilivyotembea+ mbele zako kwa ukweli+ na kwa moyo mkamilifu,+ nami nimetenda yaliyokuwa mema machoni pako.” Na Hezekia akaanza kulia sana.+