Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 4:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Tazama! nimewafundisha masharti+ na maamuzi ya hukumu,+ kama vile ambavyo Yehova Mungu wangu ameniamuru mimi, ili ninyi mfanye hivyo katikati ya nchi ambayo mnaenda kuimiliki.

  • 1 Wafalme 8:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 basi na usikie ukiwa mbinguni, nawe usamehe dhambi ya watumishi wako, naam, ya watu wako Israeli, kwa sababu unawafundisha+ njia nzuri wanayopaswa kutembea ndani yake;+ nawe unyeshe mvua+ juu ya nchi yako ambayo umewapa watu wako kuwa fungu la urithi.

  • Zaburi 86:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Unifundishe, Ee Yehova, juu ya njia yako.+

      Nitatembea katika kweli yako.+

      Unganisha moyo wangu ili kuliogopa jina lako.+

  • Isaya 30:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Na Yehova hakika atawapa ninyi mkate kwa namna ya taabu na maji kwa namna ya ukandamizaji;+ na bado Mfundishaji wako Mkuu hatajificha tena, na macho yako yatakuwa macho yanayomwona Mfundishaji Mkuu wako.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki