Zaburi 107:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nao wakaendelea kumlilia Yehova katika taabu yao;+Akawakomboa kutoka katika mikazo iliyokuwa juu yao,+ Isaya 38:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mimi nilisema: “Katikati ya siku zangu nitaingia katika malango+ ya Kaburi.*Nitanyimwa mabaki+ ya miaka yangu.”
6 Nao wakaendelea kumlilia Yehova katika taabu yao;+Akawakomboa kutoka katika mikazo iliyokuwa juu yao,+
10 Mimi nilisema: “Katikati ya siku zangu nitaingia katika malango+ ya Kaburi.*Nitanyimwa mabaki+ ya miaka yangu.”